Mwaka Mpya wa Shule bila Shule au Wanafunzi!
- Imepeperushwa katika Kitengo cha Wanawake Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwaka mpya wa shule umeanza katika Ukingo wa Magharibi na Al-Quds inayokaliwa kwa mabavu huku Ukanda wa Gaza ukiendelea kukabiliwa na vita vya mauaji ya halaiki bila ya shule wala elimu, ikiwa ni pamoja na kuharibiwa idadi kubwa ya shule na kuzigeuza shule zilizosalia kuwa makaazi.



