Wewe Ndiye Uliyewaletea Waislamu Njaa, Masoud Pezeshkian!
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
 - Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
 - |
 
Iran ilitangaza kufilisika kwa benki yake kubwa zaidi ya kibinafsi, Benki ya Ayandeh, ambayo ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni yake kupanda zaidi ya dolari bilioni tano, na kinachoshangaza ni ukosoaji wa rais wa Iran Masoud Pezeshkian kuhusu kushindwa kwa utawala akisema: “Tuna mafuta na gesi lakini tuna njaa”!



