Kwa nini Rafah Inapigwa Mabomu na Kuzingirwa na Serikali ya Misri?!
- Imepeperushwa katika Misri
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika matangazo ya moja kwa moja kwenye Chaneli ya Al Jazeera mnamo Jumatatu asubuhi, Februari 12, 2024, msemaji wa Wizara ya Afya, Ashraf al-Qudra, alizungumza na Al Jazeera akielezea uharibifu uliotokea huko Rafah na nyumba zilizolipuliwa, ambazo zilikuwa zinakaliwa na wakaazi na watu waliohamishwa makao yao.