Jumatatu, 18 Sha'aban 1446 | 2025/02/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Jibu la Swali: Kuongezeka kwa Uhasama nchini Sudan

Al Arabiya Net ilichapisha kwenye tovuti yake mnamo tarehe 4/2/2025: "Jeshi na vikosi vyake vya usaidizi viliingia katika maeneo ya kusini-mashariki ya Jimbo la Khartoum wakati wa saa zilizopita, wakitokea Jimbo la Al-Jazeera.." na tovuti ya Youm7 ilichapishwa mnamo tarehe 2/2/2025: "Mwandishi wa Kituo cha Habari cha Cairo aliripoti katika habari mpya zinazochipuka kwamba jeshi la Sudan linachukua idadi kadhaa ya vijiji mashariki mwa mto Nile katika Jimbo la Khartoum." Kabla ya hapo, mnamo tarehe 11/ 1/2025, Vikosi vya Msaada wa Haraka vilishindwa na jeshi la Sudan katika mhimili wa Jimbo la Al-Jazeera na mji mkuu wake, Wad Madani, “na kamanda wa Vikosi vya Msaada wa Haraka, Hemeti, alikiri katika kanda ya sauti iliyohusishwa naye kwamba vikosi vyake vilishindwa katika Jimbo la Al-Jazeera...” (Al-Jazeera 1/13/2025).

Soma zaidi...

Jibu la Swali: Uhamishaji wa Watu wa Gaza

Al Jazeera ilichapisha kwenye tovuti yake mnamo tarehe 26/1/2025: “Rais wa Marekani Donald Trump alisema kwamba anaishinikiza Jordan, Misri na nchi nyingine za Kiarabu kupokea wakimbizi zaidi wa Kipalestina kutoka Gaza, baada ya vita vya Israel dhidi ya Ukanda huo kusababisha mgogoro wa kibinadamu. Alipoulizwa ikiwa hili lilikuwa pendekezo la muda au la muda mrefu, Trump alisema, “Inaweza kuwa hili au lile.”

Soma zaidi...

Hatimaye, Baada ya Mauaji ya Kutisha na Maangamizi Mabaya Yaliyofanywa na Mayahudi mjini Gaza… Na Baada ya Kimya cha Kuchukiza cha Watawala wa Waislamu…Trump Aanzisha Usitishaji Tete wa Vita

Mnamo tarehe 16 Januari 2025, tovuti ya Al Jazeera ilichapisha masharti ya makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kuanza leo, Jumapili, Januari 19, 2025. Ilisema: [(Makubaliano ya kusitisha vita katika Ukanda wa Gaza yalitangazwa katika mji mkuu wa Qatar, Doha kutekelezwa katika hatua 3.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu