Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Pongezi kwa mnasaba wa Idd ul-Adha Al-Mubarak 1446 H
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Pongezi kutoka kwa Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia kwa mnasaba wa Idd ul-Adha 1446 H.
Pongezi kutoka kwa Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia kwa mnasaba wa Idd ul-Adha 1446 H.
Matembezi yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia yalitoka katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 03 Dhu al-Hijjah 1446 H sawia na tarehe 30 Mei 2025 M kuanzia Msikiti wa Al-Fath kunusuru watu wa Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa ulio mateka, ambayo yaliitishwa na watu wa Zaytouna Tunisia chini ya kichwa: “Gaza inakufa kwa Njaa huku Watawala Mabwege Wakiuzingira na Kufuja Mali za Umma”
Hizb ut Tahrir/Wilayat Tunisia ilifanya kongamano lake la kila mwaka la Khilafah mnamo siku ya Jumamosi, 26 Aprili 2025, katika ukumbi wa mikutano kwenye makao makuu ya Hizb katika makutano ya barabara ya Sakra katika mji mkuu, Tunis, chini ya kichwa: “Kufeli kwa Serikali ya Kisasa na Kutoepukika kwa Dola ya Khilafah” Kumbi mbili zilizotengwa kwa ajili ya wageni zilijaa idadi kubwa ya wanaume na wanawake waliofika kwenye kongamano hilo kutoka pande zote za ardhi ya kijani ya Tunisia.
Matembezi yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia yalitoka katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 13 Shawwal al-Khair 1446 H sawia na tarehe 11 Aprili 2025 M kuanzia Msikiti wa Al-Fath kunusuru watu wa Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa ulio mateka, ambayo yaliitishwa na watu wa Zaytouna Tunisia chini ya kichwa: “Gaza Inahitaji Majeshi Kuwapindua Watawala na Kutangaza Jihad”
Matembezi yalitoka katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 28 Machi 2025 sawia na tarehe 28 Ramadhan 1446 kuanzia Msikiti wa Al-Fath yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia kuinusuru Gaza dhidi ya uadui wa Marekani Mzayuni, ambayo yaliitishwa na watu wa Zaytouna Tunis na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu kutoka Tunisia ya kijani. Mabango yaliinuliwa, bango kuu likisomeka, “Enyi majeshi! (Mna nini mnapo ambiwa: Nendeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu, mnajitia uzito katika ardhi?)”
Kalima iliyotolewa na shab Muhammad Ali Al-Aouni kwenye Barabara ya Al-Thawra katika mji mkuu Tunis wakati wa kisimamo kilichoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Tunisia kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 14 ya mapinduzi nchini Tunisia.
Matembezi ya 66 yalianzia mbele ya Msikiti wa Al-Fath katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 10 Januari 2025 yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia kuwanusurur watu wa Palestina na Al-Aqsa iliyo mateka, na kichwa chake kilikuwa “Mapinduzi Yanaendelea Kujikomboa kutokana na Ukoloni na Kusimamisha Khilafah kwa Njia ya Utume”
Matembezi ya 65 yalianzia mbele ya Msikiti wa Al-Fath katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 3 Januari 2025 yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia kuwanusurur watu wa Palestina na Al-Aqsa iliyo mateka, na kichwa chake kilikuwa “Na Saidianeni katika Wema na UchaMungu wala Msisaidiane katika Uovu na Uadui!”
Matembezi ya hamsini na nane ya kunusuru Palestina na mateka Al-Aqsa, ambayo yaliandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, yalifanyika katika mji mkuu, Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, chini ya kichwa “Gaza Inamwachia Mwenyezi Mungu Kiwango cha Usaliti jijini Riyadh na inataka Msaada kwa Umma na Majeshi yake!”
Mnamo Ijumaa, Oktoba 11, 2024, Hizb ut-Tahrir / Wilayah Tunisia ilifanya Kongamano la kila Mwaka la Khilafah chini ya kichwa: “Khilafah ya Kiislamu… Kuelekea Mfumo Mpya wa Kimataifa”