Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi kutoka Uzbekistan Abdul-Majeed Butirov
- Imepeperushwa katika Uzbekistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir Uzbekistan yaomboleza kwa Umma wa Kiislamu mwanachama wa Hizb ut Tahrir: Abdul-Majeed Butirov
Hizb ut Tahrir Uzbekistan yaomboleza kwa Umma wa Kiislamu mwanachama wa Hizb ut Tahrir: Abdul-Majeed Butirov
Mnamo 30 Oktoba 2025, Abdul Aziz Abdul Jalilov, mwanachama wa Hizb ut Tahrir kutoka Uzbekistan, alikamatwa katika Shirika la Uhamiaji la Uswidi huko Stockholm. Kwa ufahamu wetu, Shirika hilo la Uhamiaji limeamua kumrudisha Ndugu Abdul Aziz Uzbekistan.
Kwa huzuni na majonzi makubwa, tunaomboleza kuondokewa na mwana wetu mwengine madhubuti na mchamungu, na hatumtakasi yeyote mbele ya Mwenyezi Mungu. Ndugu yetu Mirza Ahmad Mir Aziz alifariki dunia siku ya Ijumaa, 10 Oktoba 2025, na swala ya janaza iliswaliwa kwa ajili yake jana, Jumamosi. Mir Aziz alizaliwa Tashkent mwaka wa 1970. Alikuwa mmoja wa maelfu ya Waislamu wenye ikhlasi na ujasiri ambao waliitikia wito wa Hizb ut Tahrir kwa watu wa Uzbekistan kufanya kazi ya kuregesha mfumo kamili wa maisha wa Kiislamu.
Mnamo tarehe 28/8/2025, Rais Shavkat Mirziyoyev alimpokea Mjumbe Maalum wa Rais wa Marekani wa Ushirikiano wa Kimataifa, Paolo Zampoli. Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Huduma ya Habari ya Rais, “Mkutano huo ulijadili ushirikiano wa kimkakati kati ya Uzbekistan na Marekani na upanuzi wa ushirikiano wa pande nyingi.”
Mnamo Agosti 19 mwaka huu, mashtaka yalianza katika kesi ya jinai dhidi ya Alisher Tursunov, anayejulikana kwa jina lake bandia Mubashir Ahmad. Anatuhumiwa kwa kuchapisha machapisho yanayopigia debe mawazo ya kidini yenye msimamo mkali na ushupavu kupitia vyombo vya habari. Hapo awali alishtakiwa kwa kuandaa, kuhifadhi, au kusambaza nyezo za kidini kinyume cha sheria, na Wizara ya Mambo ya Ndani ilimweka kwenye orodha ya watu wanaotafutwa kimataifa! Uturuki ilimregesha Mubashir Ahmad hadi Uzbekistan kwa ombi lake mwezi Mei mwaka huu.
Mnamo 19 Mei 2025, kesi ya wanachama 33 wa Hizb ut Tahrir, iliyodumu kwa karibu miezi minane, ilifikia kikomo. Kwa mujibu wa uamuzi wa mahakama, Musayev Shukrullah alihukumiwa kifungo cha miaka 17 katika jela maalum ya utawala; Selimov Dilshod alihukumiwa miaka 16 katika gereza maalum la utawala; Watu 20 walihukumiwa kifungo cha miaka 12 katika gereza maalum la utawala; Watu 8 walihukumiwa kifungo cha kati ya miaka 8 na 10, 4 kati yao katika hali maalum na wengine 4 katika hali kali; na watatu waliosalia walihukumiwa kati ya miaka 4 na 5 chini ya kifungo cha nyumbani.
Mnamo Mei 13, 2025, Lord Cocker, Waziri wa Ulinzi wa Uingereza, alifanya ziara rasmi nchini Uzbekistan. Ziara hii ni muhimu kwani ni ziara ya kwanza rasmi nchini Uzbekistan kwa mwakilishi wa serikali mpya ya Uingereza. Wakati wa ziara yake, alikutana na uongozi wa jeshi la Uzbekistan, akiwemo Naibu Waziri wa Ulinzi Kanali Jenerali Hamdam Qarshiyev na Kamanda wa Walinzi wa Kitaifa Luteni Jenerali Rustam Juraev. Mikutano hii ilithibitisha kujitolea kwa Uingereza katika kuimarisha ushirikiano wa ulinzi wa nchi mbili na Uzbekistan. Lord Cocker pia alitoa hotuba katika Chuo cha Jeshi la Uzbekistan, mara ya kwanza kwa Waziri wa Ulinzi wa Uingereza kuzungumza katika chuo hicho.
Tunaionya sana serikali ya Uzbekistan dhidi ya kulaaniwa na kina mama, wake, watoto, jamaa na familia za wanachama hawa! Kwani, matokeo ya kujihusisha na kitendo cha kinyama cha kuwafunga na kuwakandamiza watu wasio na hatia kwa jina la kuwaridhisha maadui zetu si lolote ila aibu na dhambi.
Kama tulivyotaja awali, mahakama ya rufaa inaendesha kesi ya wafungwa 15 wa zamani wa kisiasa huko Tashkent. Wanaume kumi na watano kati ya 23 (Mashababu), ambao awali walifungwa miaka 20 kwa fikra na imani zao, walihukumiwa mnamo Julai mwaka huu kifungo cha kuanzia miaka 7 hadi 14, wengi wao walihukumiwa kifungo katika kituo maalum cha uzuizi cha serikali.
Miezi michache iliyopita, wafungwa 23 wa zamani wa kisiasa walihukumiwa huko Tashkent. Ilibainika kuwa 15 kati yao waliainishwa kama “wahalifu hatari sana wa kurudia” na walihukumiwa vifungo vya miaka 7 hadi 14, kutumikia katika kituo maalum cha kizuizi cha serikali. Wanane waliosalia walihukumiwa kifungo cha nyumbani kwa hadi miaka 5.