Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kipindi cha Mpito!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kipindi cha Mpito!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kipindi cha Mpito!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan ilizindua kampeni ya mitandao ya kijamii, haswa kwenye mtandao wa X (zamani ikijulikana kama Twitter), yenye kichwa “Katika Kumbukumbu ya Miaka 14 ya Kutekwa Nyara Kwake... Mwachilieni Huru Naveed Butt!” Kampeni hii inalenga kuishinikiza serikali dhalimu ya Pakistan, ambayo huduma zao za siri zilimteka nyara Mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir nchini Pakistan, miaka 14 iliyopita mbele ya familia yake na majirani zake.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Dua kwa Naveed Butt – Mwenyezi Mungu Amfungue Kifungo Mwake
Enyi Majeshi ya Pakistan! Fursa ya dhahabu iko mikononi mwenu. Simamisheni Khilafah, unganisheni Mashariki ya Kati chini ya uongozi wenu, na ifukuzeni Amerika kutoka katika Ardhi za Waislamu. Ahadi ya Mwenyezi Mungu ya tamkini na nasr (ushindi) wake iko pamoja nanyi. Dunia iko karibu na mabadiliko makubwa. Kwa nguvu ya Iman yenu, fuateni njia ya Ansar (ra) wa Al-Madina na muregeshe nuru ya Uislamu kwa ulimwengu kupitia mfumo wake wa utawala.
Usaidizi wa kimaadili, kidiplomasia, na kisiasa pekee hautoshi kukomesha uvamizi wa kikatili! Waislamu wa Kashmir wanahitaji usaidizi wa kijeshi kutoka kwa Vikosi vya Wanajeshi wa Pakistan na mujahidina.
Ardhi za Waislamu zinashambuliwa mfululizo na Amerika na mtoto wake, umbile la Kizayuni. Hii inawezaje kuingia akilini, wakati Amerika imetenganishwa na ulimwengu wa Kiislamu na bahari kubwa?!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Gaza inawahesabu Mashahidi wake, ambao Wametolewa Kafara kwa ajili ya Trump na Netanyahu!
Video ya Sehemu ya Hotuba ya Amiri wa Hizb ut Tahrir mwanachuoni Mkubwa Ata bin Khalil Abu Rashtah Mwenyezi Mungu Amhifadhi kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuvunjwa kwa Khilafah
Palestina ni ardhi ya Kiislamu; Umar al-Faruq (ra) aliifungua, Salahudin Al-Ayubi akaikomboa, na Khalifa Abdul Hamiid II akailinda. Haiuzwi, na haikubali kugawanyika baina ya watu wake, na aliyeikalia kimabavu, akiwatoa watu wake humo. Suluhisho lake sio dola mbili. Badala yake, utatuzi wake ni kama alivyosema Mwenyezi Mungu Al-Aziz, Al-Jabbar, na kauli yake (swt) ndiyo suluhisho la kweli, “Na wauweni katika vita popote mtakapowakuta, na watoeni popote walipo kutoeni.” [Surah Al-Baqarah: 191].
Jeshi la India lilithibitisha kwa mara ya kwanza mnamo 31 Mei 2025 kwamba lilikuwa limepoteza idadi isiyojulikana ya ndege za kivita katika mapigano na Pakistan mnamo Mei mwaka jana. Enyi mwewe wa nchi hii safi! Umbile la Kiyahudi linafanya mauaji makubwa dhidi ya watoto wetu, dada na babu zetu, na hamkusonga! Kwa fadhila na upendeleo wa Mwenyezi Mungu ﷻ, muna uwezo wa kuongoza “Vita Vikuu vya Angani” dhidi ya vikosi vya kikatili vya Netanyahu na Trump.