Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Jeshi la Anga la Pakistan lazima liongoze kampeni ya anga (Operesheni Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi na Makruseda!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jeshi la India lilithibitisha kwa mara ya kwanza mnamo 31 Mei 2025 kwamba lilikuwa limepoteza idadi isiyojulikana ya ndege za kivita katika mapigano na Pakistan mnamo Mei mwaka jana. Enyi mwewe wa nchi hii safi! Umbile la Kiyahudi linafanya mauaji makubwa dhidi ya watoto wetu, dada na babu zetu, na hamkusonga! Kwa fadhila na upendeleo wa Mwenyezi Mungu ﷻ, muna uwezo wa kuongoza “Vita Vikuu vya Angani” dhidi ya vikosi vya kikatili vya Netanyahu na Trump.