Mwaliko wa Kuhudhuria Mkutano na Waandishi wa Habari
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, tunafuraha kuwaalika ndugu zetu wanahabari, wanasiasa, na wale wenye hamu na masuala ya umma kuhudhuria mkutano na waandishi wa habari ambao msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan atazungumza, kwa kichwa: “Taarifa ya Miezi Mitatu na Ubwana Uliopotea”