Kutoka Karne ya Upotevu hadi Mustakbali wenye Bishara Njema (Karne ya Uislamu)!
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Imepita miaka 100 tangu kuvunjwa kwa Khilafah mnamo Machi 3, 1924 M, kuashiria karne kamili tangu maafa makubwa zaidi yaliyowakumba Waislamu katika historia yote ya Kiislamu.