Jumamosi, 09 Rabi' al-awwal 1448 | 2026/08/22
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Kisiasa

Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan inafuraha kuwaalika ndugu wanahabari, wanasiasa, na wale wanaopenda masuala ya umma kuhudhuria kikao kipya cha Kisiasa, kinachomshirikisha Ustadh Yaqoub Ibrahim, mwanachama wa Hizb ut Tahrir, chenye kichwa: Dori ya Mashirika ya Kikanda katika Siasa za Sudan.

Soma zaidi...

Uhakiki wa Habari 19/08/2026

Dirisha la mazungumzo la siku 60 chini ya mkataba wa makubaliano kati ya Marekani na Iran liliisha mnamo tarehe 17 Agosti bila maendeleo yoyote makubwa kuhusu Mlango wa Hormuz. Iran imeweka makataa ya wiki kadhaa kwa Marekani kutekeleza mkataba huo kikamilifu na imetangaza mabadiliko katika sera yake "kutoka ulinzi hadi mashambulizi kamili."

Soma zaidi...

Balozi za Marekani ni Vituo vya Ujasusi na Ugomvi; Kuialika Marekani Kufungua Ubalozi Wake Tena nchini Afghanistan ni Usaliti kwa Mihanga ya Ummah wa Kiislamu na Tusi kwa Damu ya Mashahidi

Katika mahojiano ya hivi karibuni na The New York Times jijini Kabul, waziri wa mambo ya nje wa Afghanistan aliialika rasmi Marekani kufungua tena ubalozi wake na kuwekeza katika sekta za miundombinu na madini za Afghanistan, akisema: "Tunachukulia sura ya vita kuwa imefikia mwisho, na kuanzia sasa, tunataka uhusiano unaotegemea heshima ya pande zote na mwanzo wa sura mpya ya ushirikiano chanya."

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu