Mabadiliko katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tunawajulisha kwamba Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria sasa ni Ustadh Ali Mustafa Al-Bakri, kuanzia 1 Muharram 1448 H, sawia na 16/06/2026 M, pamoja na shukrani za dhati kwa Ustadh Ahmad Abdul Wahhab kwa juhudi zake na kujitolea kwake katika miaka yake uongozi wa afisi hii.



