Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Kisimamo cha Izza cha Kuadhimisha Kumbukumbu ya Mapinduzi
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwaliko wa kushiriki katika kisimamo cha izza kilichoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia ili kuadhimisha kumbukumbu ya mapinduzi chini ya kauli mbiu “Mapinduzi Yanaendelea... Kuelekea Khilafah Rashida,” mnamo Jumatano, 14 Januari 2025, katika Barabara ya Al-Thawra.



