GHASIA ZA TANZANIA ZA BAADA YA UCHAGUZI WA 2025
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na mgogoro wa kisiasa tangu siku ya uchaguzi ya tarehe 29 Oktoba 2025 na baadaye kwa siku kadhaa, na kusababisha vifo na uharibifu wa mali na miundombinu. Kufuatia tukio hili, sisi, Hizb ut Tahrir / Tanzania, tungependa kuelezea yafuatayo:



