Al-Waqiyah TV: Kwa Mukhtasari... Kuwadhibiti Wanaodhulumiwa... Kwa Dhulma Zaidi?!
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Al-Waqiyah TV: Kwa Mukhtasari... Kuwadhibiti Wanaodhulumiwa... Kwa Dhulma Zaidi?!
Al-Waqiyah TV: Kwa Mukhtasari... Kuwadhibiti Wanaodhulumiwa... Kwa Dhulma Zaidi?!
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wanaozuru kurasa za Afisi Kuu Habari DVD mpya katika lugha tatu yenye kichwa: “Nasheed za Khilafah 1447 H - 2025 M”
Trump alisema katika chapisho kwenye jukwaa lake la Kijamii la Ukweli: “Ninafuraha kuripoti kwamba tuna mazungumzo yenye msukumo na yenye natija na Jumuiya ya Mashariki ya Kati kuhusu Gaza,” na kuongeza kuwa, “mazungumzo makali yamekuwa yakiendelea kwa siku nne, na yataendelea kwa muda mrefu iwezekanavyo ili kupata Makubaliano Yanayokamilishwa kwa Mafanikio.” (Truth Social; TRT Kiarabu, 27/9/2025)
Al-Waqiyah TV: Trump ndiye Muungaji Mkono Mkuu wa Umbile la Kiyahudi katika Uhalifu wake wa Kutisha mjini Gaza na Palestina yote
Sudan kwa sasa iko katikati ya vita vya kipumbavu ambavyo vimesababisha vifo vya makumi ya maelfu ya raia na kuzua mgogoro mkubwa zaidi duniani wa njaa na kuhama makaazi. Wananchi wa Sudan wamekumbwa na mizozo mbalimbali pamoja na umaskini mkubwa, udikteta, migawanyiko ya kikabila na kitabaka na matatizo mengine mengi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa miongo kadhaa chini ya uongozi, tawala na mifumo mtawalia.
Al-Waqiyah TV: Ukweli Uliofichuliwa na Matokeo ya Kimbunga cha Al-Aqsa!
Tunajua kwamba mkakati wa Marekani wa kuasisi umbile la Kiyahudi katika moyo wa nchi za Kiislamu, kwa sehemu kubwa, umeegemezwa kwenye suluhisho la dola mbili. Hata hivyo, chini ya Trump, mkakati huu umeanza kuatelekezwa, au angalau kunyamaziwa, jambo ambalo limezua maswali. Kwa mfano, Trump alisema, "Unapotazama ramani, ramani ya Mashariki ya Kati, 'Israel' ni sehemu ndogo sana ikilinganishwa na ardhi hizi kubwa mno. Kwa hakika nilisema: 'Je, kuna njia yoyote ya kupata zaidi? Ni ndogo..." (Sky News, 19/8/2024). Je, hii inamaanisha kuwa mradi wa suluhisho la dola mbili wa Amerika umekufa na kukamilika, au bado ungali hai?
Rais Trump wa Marekani na Rais wa Urusi Putin walifanya mkutano huko Alaska mnamo tarehe 16/8/2025. Je, walifikia makubaliano kuhusu masuala muhimu? Je, mkutano huu ulikuwa na athari gani katika mahusiano kati ya nchi hizi mbili? Kuhusu Ukraine? Na kimataifa kuhusu Ulaya na China?
Sehemu ya amali za kimataifa zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir kote ulimwenguni katika kuwanusuru na kuwaombea nusra watu wetu mjini Gaza na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu, kuanzia mto wake hadi bahari yake.
Imepokewa kutoka kwa Anas bin Malik (ra) kuwa amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw): “Hajaamini yule ambaye analala tumbo lake likiwa limeshiba na hali ya kuwa jirani yake ana njaa na yeye anajua.” Basi vipi kuhusu mji wa Gaza ambao watu wake wanakufa njaa, huku pambizoni mwake kuna ardhi zilizo jaa neema na kheri nyingi, chini ya utawala wa watawala walioisaliti, na kula njama dhidi yake pamoja na maadui zake, wakafunga mipaka na kuziba midomo ya wale walioomba msaada na nusra. Hawakuridhika na kuisaliti tu, walizuia nusra yake na wakajitahidi kuizingira, wakiinyima chakula na dawa.