DVD “Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kuinusuru Gaza!”
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa ya mujahidina katika ardhi iliyobarikiwa ya Palestina mnamo 7 Oktoba 2023, chini ya kauli mbiu ya “Kimbunga cha Al-Aqsa,” dhidi ya umbile nyakuzi la Kizayuni, ambalo limeendelea katika uvamizi wake dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na kuzingirwa kwake na mashambulizi ya mabomu yanayoendelea ya Ukanda wa Gaza kwa zaidi ya miaka 19, umbile hilo limefichuliwa jinsi lilivyo: umbile la kuchukiza, msingi wake ni dhaifu kuliko utandu wa buibui.



