Mwisho wa Uvamizi wa Kijeshi wa Marekani na NATO: Fursa…
Jumapili, 8 Rabi' I 1447 - 31 Agosti 2025
Miaka minne iliyopita, mnamo 31 Agosti 2021, uvamizi wa kijeshi wa miongo miwili wa Afghanistan na vikosi vya Amerika na NATO ulimalizika, kwani mwanajeshi wa mwisho wa Amerika aliondoka nchi humu usiku wa manane. Hii ilikuwa hasa kwa sababu ya mhimili wa Wamarekani kuelekea Indo-pacifiki, kupunguza kasi ya maendeleo ya China. Nchi za Kiislamu, hususan Mujahidina wa Afghanistan walikuwa wamewaumiza kichwa Wamarekani na kukengeushwa na mkakati huu mpya. Tunatoa pongezi zetu kwa mafanikio haya ya kihistoria na siku kuu kwa Waislamu wote, hasa kwa watu wa Afghanistan, wabebaji Dawah, na Mujahidina.
Miradi ya Wamarekani – Mayahudi ni Miradi ya Jinai na…
Chaneli 5 ya Kiebrania, kama ilivyoripotiwa na Al Jazeera, ilitangaza ripoti iliyosema kwamba Netanyahu anafanya…
Mpango wa Mipaka ya Damu na Uhalifu wa Kujitenga kwa…
Baada ya kuanguka kwa kutia shaka kwa miji mikubwa ya Darfur, na kuondolewa kwa jeshi…
Mauaji ya Halaiki ya Sudan: Dori ya Omar al-Bashir
Ingawa mengi yanajulikana kuhusu mauaji ya halaiki yanayowakumba ndugu na dada zetu nchini Palestina, machache…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha…
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua kampeni ya…
Hakuna Suluhisho kwa Suala la Sudan Isipokuwa Kutawalisha Uislamu
Tangu uhuru wake mnamo tarehe 1/1/1956, Sudan imeshuhudia mfululizo wa mapinduzi ya kijeshi. Ya kwanza…