Hali Imefikia Hatua Ambapo Watawala wa Waislamu Wanacheza Kamari na…
Jumanne, 2 Dhu al-Hijjah 1447 - 19 Mei 2026
Afisi ya Habari ya Abu Dhabi iliripoti kwamba timu maalum za kukabiliana na dharura mnamo Jumapili zilidhibiti moto uliozuka katika jenereta ya umeme iliyoko nje ya eneo la ndani la Kiwanda cha Nguvu za Nyuklia cha Barakah katika eneo la Al Dhafra, kufuatia shambulizi la droni kwenye eneo hilo, bila majeraha yoyote au uvujaji wowote wa mionzi uliorekodiwa. Wizara ya Ulinzi ya Imarati ilieleza kwamba uchunguzi bado unaendelea ili kubaini chanzo cha mashambulizi hayo, ikibainisha kuwa maendeleo yoyote yatatangazwa mara tu uchunguzi utakapokamilika.
Enyi Waislamu: Msiruhusu Ardhi Zenu Kuwa Jukwaa la Majeshi ya…
Serikali ya Uingereza imetangaza kupelekwa kwa silaha ya gharama nafuu ya kupambana na droni katika…
Kilio cha Wafungwa Kinasikika Nyoyoni mwa Waislamu Baada ya Uamuzi…
Waziri wa Vita na anayeitwa Waziri wa Usalama wa Kitaifa katika umbile la Kiyahudi walitangaza…
Zimwi Lililo Lala: Hijja Yatoa Wito wa Umoja
Kila mwaka, zaidi ya Waislamu milioni mbili kutoka kote ulimwenguni hukusanyika katika eneo takatifu la…
Mashahidi Watatu Jijini San Diego: Matunda ya Chuki dhidi ya…
Nyoyo zetu zimejaa huzuni kufuatia mauaji ya kusikitisha ya Waislamu watatu katika msikiti mmoja jijini…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni “Katika Kumbukumbu ya…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan ilizindua kampeni ya mitandao ya kijamii, haswa kwenye mtandao…




