Mkataba wa Biashara na Unyenyekeaji wa Indonesia kwa Maslahi ya…
Jumapili, 24 Muharram 1447 - 20 Julai 2025
Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza makubaliano ya kibiashara na Indonesia, kupunguza ushuru unaotishiwa wa 32% kwa bidhaa za Indonesia hadi 19%. Kwa upande wake, Indonesia ilijitolea kununua nishati ya Marekani kwa dolari bilioni 15, bidhaa za kilimo kwa dolari bilioni 4.5, na ndege 50 za Boeing, ikiwa ni pamoja na aina ya 777. Trump alidai Marekani itapata ufikiaji kamili wa soko la Indonesia bila kulipa ushuru. Makubaliano hayo yalifuatia vitisho vya ushuru wa juu na yalikamilishwa baada ya mazungumzo na Rais wa Indonesia Prabowo Subianto. Bado haijulikani ni lini upunguzaji wa ushuru na ununuzi utaanza kutekelezeka. Biashara ya Indonesia...
Idhini ya Marekani sio Kipimo cha Uamuzi wa Kisiasa kwa…
Mnamo tarehe 17 Julai 2025, Dawn News ilinukuu kutoka Reuters, "Ikulu ya White House mnamo…
Wanawake lazima Wauone Udanganyifu wa Fikra ya Anuwai na Ushirikishwaji…
Chaneli ya Kiislamu ilijadili ripoti mpya inayofichua miondoko ya chuki dhidi ya Uislamu, kutengwa kitaaluma…
Taarifa ya Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya…
Mnamo Jumatatu, 19/05/2025, Mwenyekiti wa Baraza la Utawala, Abdel Fattah Al-Burhan, alitoa uamuzi wa kumteua…
Uislamu uko Mbali na Mazungumzo ya Dini Mseto
Mnamo tarehe 5 Julai 2025, jumba jipya la ibada katika Kanisa la Arise and Shine…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 556
Vichwa Vikuu vya Toleo 556