Jumanne, 19 Jumada al-thani 1447 | 2025/12/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Udhalimu wa Watawala Wakandamizaji Unaweza Kukomeshwa Tu Kupitia Mabadiliko Msingi

Udhalimu wa Watawala Wakandamizaji Unaweza Kukomeshwa Tu Kupitia Mabadiliko Msingi

Jumatatu, 10 Jumada II 1447 - 01 Disemba 2025

Tangu Jumamosi iliyopita, mkoa wa Erbil umekuwa ukishuhudia mvutano wa kiusalama kufuatia maandamano ya makabila ya Herki katika wilaya ya Khabat, yakikituhumu Chama cha Kidemokrasia kwa kukaidi ahadi zake za kuwapa viti vitatu bungeni kwa badali ya kabila hilo kuwapa kura zao katika uchaguzi. Maandamano hayo kisha yakageuka kuwa mapigano kati ya makabila ya Herki na vikosi vya usalama, na kusababisha vifo na majeraha. Katika tukio muhimu, kabila hilo lilitangaza uhamasishaji wa jumla huko Erbil, na waandamanaji wakachoma makao makuu ya Chama cha Kidemokrasia cha Kurdistan katika wilaya hiyo leo, Jumatatu.

Afisi ya Habari

Udhalimu wa Watawala Wakandamizaji Unaweza Kukomeshwa Tu Kupitia Mabadiliko Msingi

Udhalimu wa Watawala Wakandamizaji Unaweza Kukomeshwa Tu Kupitia Mabadiliko Msingi

Jumatatu, 10 Jumada II 1447 - 01 Disemba 2025

Tangu Jumamosi iliyopita, mkoa wa Erbil umekuwa ukishuhudia mvutano wa kiusalama kufuatia maandamano ya makabila ya Herki katika wilaya ya Khabat, yakikituhumu Chama cha Kidemokrasia kwa kukaidi ahadi...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Dkt. Muhammad Al-Umda Hammad

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Dkt. Muhammad Al-Umda Hammad

Ijumaa, 14 Jumada II 1447 - 05 Disemba 2025

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, kwa nyoyo zilizoridhika na amri ya Mwenyezi Mungu, macho yanayobubujika machozi, na huzuni kubwa, inaomboleza mmoja wa mashababu wake aliyebeba ulinganizi wa kuregesha ...

Matoleo

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Jumatano, 20 Rabi' II 1447 - 12 Novemba 2025

Sera ya elimu nchini Tunisia, kama moja ya nguzo za dola ya kisasa, imefeli, na mageuzi yanayorudiwa rudiwa hayajafanikiwa. Watoto wetu wamekuwa chini kabisa katika orodha ya kimataifa, na shule na vy...

Habari za Dawah

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Kongamano la Antalya: “Usuli wa Amani na Mustakabali wa Gaza”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Kongamano la Antalya: “Usuli wa Amani na Mustakabali wa Gaza”

Jumapili, 2 Jumada II 1447 - 23 Novemba 2025

Katika kukabiliana na mauaji ya kikatili yanayoendelea (mauaji ya halaiki) yanayofanywa na umbile halifu la Kizayuni dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza kwa zaidi ya miaka miwili, ...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Jukwaa la Mazungumzo: “Ni Wakati sasa wa Kituo cha Kisiasa Kujikomboa kutokana na Utegemezi wa Wakoloni wa Magharibi”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Jukwaa la Mazungumzo: “Ni Wakati sasa wa Kituo cha Kisiasa Kujikomboa kutokana na Utegemezi wa Wakoloni wa Magharibi”

Jumapili, 2 Jumada II 1447 - 23 Novemba 2025

Kamati ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Tunisia iliandaa jukwaa la mazungumzo lenye kichwa “Ni Wakati sasa wa Kituo cha Kisiasa Kujikomboa kutokana na Utegemezi wa Wakoloni wa Maghar...

Jibu la Swali: China na Ukombozi Wake Kutoka kwa Mtazamo Wake Mdogo wa Kikanda

Jibu la Swali: China na Ukombozi Wake Kutoka kwa Mtazamo Wake Mdogo wa Kikanda

Jumamosi, 1 Jumada II 1447 - 22 Novemba 2025

 “China inamiliki hisia ya nguvu na mapambano, na kama lengo la China halikufungika tu na kudumisha eneo lake, na kukubali kukabiliana na Amerika kama jibu tu kwa harakati za Amerika kuelekea ene...

Jibu la Swali: Ruwaza ya Marekani ya Kutatua Kadhia ya Cyprus

Jibu la Swali: Ruwaza ya Marekani ya Kutatua Kadhia ya Cyprus

Jumatano, 21 Jumada I 1447 - 12 Novemba 2025

“Afisi ya rais wa Uturuki ilitangaza mnamo Jumatatu kwamba Rais wa Jamhuri ya Uturuki ya Cyprus Kaskazini, Tufan Erhürman, atatembelea Ankara Alhamisi ijayo, 13/11/2025... Burhanettin Duran, mkuu wa i...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu