Udhalimu wa Watawala Wakandamizaji Unaweza Kukomeshwa Tu Kupitia Mabadiliko Msingi
Jumatatu, 10 Jumada II 1447 - 01 Disemba 2025
Tangu Jumamosi iliyopita, mkoa wa Erbil umekuwa ukishuhudia mvutano wa kiusalama kufuatia maandamano ya makabila ya Herki katika wilaya ya Khabat, yakikituhumu Chama cha Kidemokrasia kwa kukaidi ahadi zake za kuwapa viti vitatu bungeni kwa badali ya kabila hilo kuwapa kura zao katika uchaguzi. Maandamano hayo kisha yakageuka kuwa mapigano kati ya makabila ya Herki na vikosi vya usalama, na kusababisha vifo na majeraha. Katika tukio muhimu, kabila hilo lilitangaza uhamasishaji wa jumla huko Erbil, na waandamanaji wakachoma makao makuu ya Chama cha Kidemokrasia cha Kurdistan katika wilaya hiyo leo, Jumatatu.
Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Dkt. Muhammad Al-Umda Hammad
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, kwa nyoyo zilizoridhika na amri ya Mwenyezi Mungu, macho…
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Wamzuru Katibu…
Mnamo Jumanne, 2 Disemba 2025, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, ukiongozwa na…
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Wakutana na…
Mnamo Jumatatu, 1 Disemba 2025, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, ukiongozwa na…
Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa…
Sera ya elimu nchini Tunisia, kama moja ya nguzo za dola ya kisasa, imefeli, na…
Trump, Kupitia Azimio la Umoja wa Mataifa na kwa Msaada…
Wakati wowote Amerika inaposhindwa kufanya jambo peke yake, hutumia mwavuli dhalimu wa Umoja wa Mataifa.…




