Ulaya Inaendelea Kuunga Mkono Mauaji ya Halaiki mjini Gaza
Ijumaa, 18 Rabi' II 1447 - 10 Oktoba 2025
Licha ya kauli mbiu tupu kuhusu kuitambua dola ya Palestina, Ulaya inaendelea kusafirisha silaha kwa umbile hilo la Kizayuni. Habari zilizovuja zilizopatikana na gazeti la Denmark zinafichua kuwa hivi majuzi mwezi wa Agosti, serikali ya Denmark ilituma vifaa vya silaha kwa ndege zilizotumiwa kuua watoto mjini Gaza.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Yatoa Hotuba ya Hadhara…
Kama sehemu ya kampeni yake ya kutibua mpango wa kuigawanya Sudan kwa kutenganisha Darfur, Hizb…
Al-Waqiyah TV: Trump ndiye Muungaji Mkono Mkuu wa Umbile la…
Al-Waqiyah TV: Trump ndiye Muungaji Mkono Mkuu wa Umbile la Kiyahudi katika Uhalifu wake wa…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 568
Vichwa Vikuu vya Toleo 568
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…
Trump na Putin: Kutoka Mapenzi hadi Chuki ni Hatua Moja…
Putin amemtishia Trump kwa “kuvunja mahusiano” endapo Ukraine itapokea makombora ya Tomahawk kutoka Marekani. (nv.ua)