Mauti katika Mipaka ya Sykes-Picot Yatakomeshwa tu na Khilafah Pekee
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
“Jeshi la Misri lashambulia magari ya wasafirishaji haramu yanayobeba Wasudan,” hiki kilikuwa kichwa cha habari kwenye tovuti ya ‘Sudan Tribune’ mnamo Ijumaa, Juni 14, 2024, ambapo liliripoti mkasa wa Wasudan wanaokimbia vita wanaojaribu kuingia Misri.