Jumanne, 08 Rabi' al-thani 1447 | 2025/09/30
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  2 Rabi' II 1447 Na: HTS 1447 / 38
M.  Jumatano, 24 Septemba 2025

Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Kisiasa

(Imetafsiriwa)

Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan inafuraha kuwaalika wanahabari, wanasiasa, na wale wote wanaopenda masuala ya umma, kuhudhuria na kushiriki katika kikao kipya cha Kisiasa, ambapo Ustadh Ya‘qub Ibrahim, mwanachama wa Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan, atakuwa mgeni, chini ya kichwa:

Ulaya na Ushawishi Wake kwa Matukio nchini Sudan

Kikao hicho kitasimamiwa na Ustadh Wakili Muhammad ‘Abd al-Fattaḥ.

Wakati: Jumamosi, 05 Rabi’ al-Akhir 1447 H sawia na 27/09/2025 M, saa moja alasiri, insha’Allah.

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan iliyoko Port Sudan – Ḥayy al-‘Aẓmah.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir
katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu