Alhamisi, 26 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  24 Rabi' I 1447 Na: HTS 1447 / 33
M.  Jumanne, 16 Septemba 2025

 Mwaliko wa Kuhudhuria Mkutano na Waandishi wa Habari
(Imetafsiriwa)

Sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, tunafuraha kuwaalika ndugu zetu wanahabari, wanasiasa, na wale wenye hamu na masuala ya umma kuhudhuria mkutano na waandishi wa habari ambao msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan atazungumza, kwa kichwa:

“Taarifa ya Miezi Mitatu na Ubwana Uliopotea”

Wakati: Jumamosi, Rabi' al-Awwal 28, 1447 H, sawia na 20 Septemba 2025, saa 1:00 pm.

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, Port Sudan – Wilaya ya Al-Azma – Mashariki mwa Uga wa Port Sudan

Kuhudhuria kwenu kunanogesha mazungumzo.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir
katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu