Mpaka Lini, Enyi Ummah wa Muhammad?!
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uharibifu na kukatwa vipande vipande, kulipuliwa kwa mabomu na mauaji makubwa, kunajisiwa Msikiti wa Al-Aqsa na kumtukana Mtume (saw) ndani ya nyua zake. Hivi, mpaka lini, enyi Umma wa Muhammad (saw)?!