Kwa Washiriki wa Kongamano lenye Kichwa: "Kashmir na Palestina inayokaliwa kwa mabavu - Suluhisho ni Nini?"
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Imeharamishwa waziwazi kurudi kwa Umoja wa Mataifa (UN) kuhusiana na kadhia ya Kashmir, kwa sababu Umoja wa Mataifa ni Taghut, mamlaka yaliyojengwa juu ya msingi juu wa hukmu nyengine isiyokuwa ile aliyoiteremsha Mwenyezi Mungu (swt), kwa mujibu wa Sharia. Kuregelea kwa Umoja wa Mataifa ni kukaribisha Ghadhabu za Mwenyezi Mungu (swt).