Jumanne, 03 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/08/26
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

“Sote tuko dhidi ya Kampeni ya Kibaguzi na ya Kidhulma dhidi ya Ndugu zetu Watu wa Ash-Sham” Kisimamo cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon kuwatetea Ndugu Zao

Baada ya kuongezeka kwa mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya watu waliokimbia makaazi ya Syria nchini Lebanon, na baada ya Gatuzi la Kaskazini kuchukua maamuzi kadhaa yasiyo ya haki dhidi yao, na uvamizi wa vyombo vya usalama vilivyo nje ya mamlaka yao kwenye kambi za wakimbizi hao

Soma zaidi...

Mamlaka ya Kihouthi Yamkamata Mmoja wa Mashababu wa Hizb ut Tahrir kwa sababu ya Kauli ya Hukmu ya Sharia kuhusu Zaka!

Mamlaka ya Kihouthi ilimkamata Ndugu Abdullah Ali Al-Qadi kabla ya jua kuzama mnamo Jumanne, tarehe 27 Ramadhan iliyobarikiwa 1444 H, ambapo alitekwa nyara mbele ya nyumba yake katika mji mkuu, Sana'a, katika siku tukufu, kwa shtaka la kutaja hukmu tukufu, "Zakat kati ya mfumo wa Kiislamu na mfumo wa kisekula wa Houthi."

Soma zaidi...

Uhakiki wa Habari 26/04/2023

Matumizi ya silaha duniani yalifikia rekodi ya $2.24 trilioni mwaka 2022, ongezeko la karibu 4%, kulingana na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI). Shirika hilo la kimataifa liligundua kuwa mwelekeo huo uliongozwa na nchi za Ulaya kuregea katika viwango vya matumizi ya Vita Baridi, ingawa Marekani imesalia kuwa nchi inayotumia pesa nyingi zaidi katika vita.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu