Jibu la Swali: Kampuni katika Uislamu sio Mtu Bandia
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
a) Je, kuna kitu katika Uislamu kama "thamani ya soko la kampuni" mbali na suala la hisa katika urasilimali?
b) Je, alama ya biashara ina thamani ya kutathminiwa wakati kiwanda kinauzwa?
c) Je, alama ya biashara ni ya kiwanda au kampuni, yaani, ikiwa kampuni itabaki na kuuza kiwanda chake kimoja au laini ya uzalishaji kwa moja ya vifaa vyake, ni nini kinachozingatiwa katika kukadiria bei?
d) Katika tukio la kampuni kuvunja, nini kitatokea kwa alama ya biashara?