Alhamisi, 29 Muharram 1447 | 2025/07/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Zaka ya Washirika katika Mbuzi

Nimeona katika Jibu la Swali aliloulizwa Amir (Mwenyezi Mungu amhifadhi) kuhusiana na zaka ya pesa za kushirikiana, kwamba hukmu inatafautiana na yaliyokuja katika kitabu cha “Mali katika Dola ya Khilafah” kuhusu zaka ya washirika wa mbuzi. Ambapo katika kitabu cha Al-Amwaal imekuja maneno yafuatayo:

Soma zaidi...

Dhahabu na Fedha ndio Sarafu Mbili Ambazo Dola ya Kiislamu Inapaswa Kuzitabanni

Baadhi ya wanafikra katika nchi yetu, Indonesia, wanakataa kuregelea utumiaji wa sarafu za dhahabu na fedha, na kusema kuwa Shari'ah haiagizi kwamba pesa maalum zitumike, wakitumia dalili kwamba Umar ibn al-Khattab alidhamiria kutengeza dirham kutokana na ngozi za ngamia, je rai hii ni sahihi?

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu