Jumatano, 21 Muharram 1447 | 2025/07/16
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Demokrasia Humpa Mwanadamu, Wakiwemo Wasiokuwa Waislamu, Uwezo wa Kufafanua na Kubainisha Imani na Madhehebu Yetu!

Pendekezo la hivi majuzi la Mswada wa Sheria ya Mufti 2024 (Maeneo ya Shirikisho) limezua mjadala mkali kote nchini Malaysia. Tangu kusomwa kwake kwa mara ya kwanza mwezi Julai, Mswada huo umesonga mbele, ukikaribia kusomwa mara ya pili na ya tatu kabla ya kuidhinishwa kamili na bunge. Mwanzo wa Mswada huu unatokana na mjadala unaoendelea kuhusu Ilm al-Kalam (Usomi wa Kiislamu), ambao umeongezeka hivi karibuni nchini Malaysia.

Soma zaidi...

Ushenzi ni Ufaransa na Historia yake ni Mbaya na Nyeusi, Ewe Macron

Utovu wa nidhamu wa Rais wa Ufaransa Macron umefikia kilele chake kwa kauli zake za kishenzi alizozitoa katika Bunge la Morocco mnamo siku ya Jumanne, 29/10/2024; kuwakashifu Mujahidina nchini Palestina, wanaotetea ardhi na haki zao, kama “washenzi”, na kudai kwamba umbile, halifu vamizi la Kiyahudi lina haki ya kujilinda.

Soma zaidi...

Mwaliko wa Kuhudhuria Mkao wa Masuala ya Ummah

Sisi, katika Hizb utTahrir / Wilayah Sudan, tunafuraha na taadhima kuwaalika waandishi wa habari, wataalamu wa vyombo vya habari, wanasiasa, na wale wanaopenda masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika Mkao wa kila mara wa Masuala ya Ummah, ambao utakuwa na kichwa: Sera za Uachishaji kazi na Uteuzi na Njia Isiyoepukika ya Utawala Bora.

Soma zaidi...

Kwa Kuifuta Katiba ya ‘72 na Msingi wake, Usekula, Watu wameungana katika Kuendesha Nchi Kwa Msingi wa Katiba ya Kiislamu

Enyi Watu, hasa Wanafunzi-Raia Wanamapinduzi! Kataeni jaribio lolote la kuhifadhi mwendelezo wa mfumo wa kibepari wa kisekula uliofeli wa Magharibi kwa kufanya mabadiliko fulani ya kivipodozi kwa jina la marekebisho ya katiba au kuiandika upya. Lazima muimarishe matakwa ya katiba ya Kiislamu na mfumo wa Kiislamu. Unganeni chini ya uongozi wa Hizb ut Tahrir katika kusimamisha Khilafah kwa njia ya Utume, na mutoe wito kwa watu wenye madaraka wahamishie mamlaka kwa Hizb ut Tahrir ili kutimiza matarajio ya watu.

Soma zaidi...

Maldives Yatumbukia Zaidi ndani ya Mgogoro wa Kifedha, huku Ikiyumba Kati ya China na India

Suluhisho la migogoro ya kiuchumi ya Maldives haliko katika kuyumba kati ya dola mbili zinazopiga vita Waislamu na Uislamu. Mfumo wa sasa wa ulimwengu unaleta madhara kwa Waislamu, kiuchumi na kijeshi. Unafanya dola za Waislamu kuwa uwanja wa kunyonywa na wakoloni, na washirika wao, India na umbile ya Kiyahudi. Suluhisho kwa Maldives ni kuwa sehemu ya Khilafah tukufu, kama ilivyokuwa huko nyuma.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu