Serikali ya Kazakhstan Yawashtaki Mashababu wa Hizb ut Tahrir
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo tarehe 4 Novemba, shirika la habari la Zakon.kz liliripoti: “Katika mji wa Kentau, eneo la Turkestan, seli ya siri ya shirika la kidini lenye misimamo mikali la Hizb ut Tahrir ilifutwa. Kulingana na taarifa hiyo, shughuli za utafutaji-utendaji zilifanywa na kitengo cha kukabiliana na misimamo mikali za Wizara ya Mambo ya Ndani kwa usaidizi wa Kamati ya Usalama wa Kitaifa.