Alhamisi, 19 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Vichwa vya Habari: 30/11/2022

Maandamano ya umma nchini China yanayohusiana na vizuizi vya serikali vya Covid-19 yamegonga vyombo vya habari vya kimataifa kufuatia moto mbaya wa ghorofa moja huko Urumqi, Xinjiang ambao uliua watu kumi. Maandamano yalizuka katika miji kote China kulingana na video zilizochapishwa kwenye Weibo na Twitter za China. Raia kote China walilaumu vifo hivyo kutokana na kushindwa kwa huduma za zimamoto na uokoaji kufikia jengo hilo kwa sababu ya vizuizi vya COVID-19.

Soma zaidi...

Kizazi Kichanga - Mshawishi katika Kusimamisha Uislamu

Uteuzi wa Dato Seri Anwar Ibrahim kuwa Waziri Mkuu wa 10 wa Malaysia hatimaye umemaliza kipindi cha siku 5 cha ‘wadhifa wazi wa serikali’ baada ya Uchaguzi Mkuu wa 15 (GE15). Mfalme wa Malaysia, Yang di-Pertuan Agong Sultan Abdullah Ri’ayatuddin Al-Mustafa Billh Shah, ameridhia uteuzi huu na kuanzishwa kwa serikali ya umoja ya Malaysia.

Soma zaidi...

Vifo vya Wahamiaji

Tarehe 25 Novemba 2022 iliadhimisha mwaka mmoja wa kifo cha wahamiaji 31 ​​wengi wao wakiwa Waislamu waliokuwa wakivuka Mkondo wa Kiingereza ndani ya mashua ya mpira.

Vifo hivyo vimetajwa kuwa janga baya zaidi la baharini kuwahi kutokea kwa miaka 30. Dhurufu za matukio hayo ya kutisha zinaogofya zaidi.

Soma zaidi...

Magharibi inawatakia nini Waislamu kupitia Thaqafa yake wa Kimagharibi?

KUN.UZ na tovuti zingine za habari ziliripoti kwamba mnamo Novemba 14-16, Tashkent iliandaa “Kongamano la Pili la Ulimwengu la Malezi na Elimu ya Mtoto Wadogo  (WCECCE).” Akizungumza katika kongamano hilo, Rais wa Uzbekistan, Shavkat Mirziyoyev, alipendekeza kupitisha azimio maalum la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu matokeo ya Kongamano hilo la Kiulimwengu, kuhusu umuhimu wa kuwasomesha watoto, kama jambo muhimu katika kufikia maendeleo ya wanadamu wote. Pia imependekezwa kuasisiwa kituo cha kikanda cha UNESCO huko Tashkent.

Soma zaidi...

Hotuba ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan katika Mkutano wa Waandishi wa Habari Uliofanywa na Hizb katika Taasisi ya Taiba ya Vyombo vya Habari yenye kichwa: “Uwasilishaji wa Rasimu ya Katiba inayosuluhisha Migogoro, yenye Kuleta Makundi yote pamo

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu. Na rehma na amani zimshukie mjumbe aliyetumilizwa kama rehma kwa walimwengu, bwana wetu na kipenzi chetu Muhammad (saw), kiongozi wa Njia Iliyo Nyooka, na ahli zake watukufu na maswahaba zake, na anayefuata njia yake na akafuata nyayo zake mpaka Siku ya Kiyama.

Soma zaidi...

Hatua za Kwanza za Kupiga Marufuku Shule za Quran Uholanzi

Serikali ya Uholanzi inachukua hatua dhidi ya mashirika yasiyo rasmi ya elimu ya Kiislamu kama vile shule za Qur'an na shule nyingine za kibinafsi ambapo watoto wanaweza kujifunza Kiarabu na Quran. Hii inahusisha safu nzima ya hatua za vikwazo ili kuingilia kati, kufuatilia na kubadilisha mtaala wa elimu ya Kiislamu.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu