Jumatatu, 24 Safar 1447 | 2025/08/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Sudan Inavuja Damu na Inalilia Msaada... Je, Kuna Mwokozi kwa Watoto na Wanawake?

Mnamo tarehe 15/4/2023, mapigano yalizuka jijini Khartoum kati ya jeshi na Vikosi vya Msaada wa Haraka. RT mtandaoni ilinukuu yafuatayo kutoka kwa AFP: "Mapigano yanaendelea kati ya jeshi na Vikosi vya Msaada wa Haraka huko Khartoum, wakati ambapo shirika moja la misaada lilionya juu ya mlipuko wa ukambi na utapiamlo miongoni mwa watoto katika kambi za waliohamishwa, na unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake.''

Soma zaidi...

Umma wa Kiislamu kamwe "hautahalalisha mahusiano" ya ukiukaji matukufu. Badala yake, Khilafah Itaifunga Mikono na Ndimi Ovu Kunyamaza Kimya

Nchi za Magharibi zinaushambulia Uislamu bila kuchoka. Zinachafua heshima ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw), kwa kuchora katuni, na kuchoma Quran Tukufu. Hii ni ili Waislamu wasiwe na hisia na "kuhalalisha mahusiano" na ukiukaji wa matukufu ya Uislamu. Msururu huu wa mashambulizi ulianza katika zama za hivi karibuni na Salman Rushdie na Taslima Nasrin.

Soma zaidi...

Mzigo wa Fedha

Kenya: Baada ya mswada wa fedha kupitishwa na kutabanniwa na Serikali, sera ya ushuru ilinyanyua kwa kiasi kikubwa wigo wote wa uchumi. Kutabanniwa huku kumezalisha upinzani mkali na hasa wenye utata kuhusu ongezeko la ushuru la 8% kwenye bidhaa za mafuta, ushuru wa nyumba wa 1.5% kwenye mapato, pia ushuru wa 1.5% ya kwa maudhui ya kidijitali na mengi zaidi.

Soma zaidi...

Mamia ya Wanawake na Watoto Wanazama kwenye Vifo vyao katika Ulimwengu wa Kibepari na Kizalendo Uliovuliwa Ubinadamu wake

Mnamo tarehe 18 Juni, 2023, BBC iliripoti juu ya kuzama kwa mashua iliyokuwa imebeba wahamiaji zaidi ya 500 kutoka pwani ya Ugiriki. Picha za mashua hiyo iliyochukuliwa na walinzi wa pwani kabla ya kuzama zinaonyesha mamia ya wanaume wakiwa wamejazana kwenye sehemu ya juu. Mashua hiyo ilitengenezwa kubeba sehemu ndogo tu ya idadi hiyo ya watu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Ardhi Iliyobarikiwa: Hizb ut Tahrir Yaandaa Maandamano Baridi Ikiyalingania Majeshi ya Waislamu Kuwanusuru Watu wa Jenin

Baada ya uvamizi wa kikatili na usio wa haki wa kambi ya Jenin na vikosi vya jeshi la Kiyahudi, ambapo vikosi hivyo vilisababisha vifo, uharibifu na ufisadi, Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina iliandaa maandamano makubwa baridi katika miji ya Hebron, Ramallah na Qalqilya, yenye kichwa “Ushindi kwa Jenin na Kutafuta Nusrah kutoka kwa Majeshi ya Waislamu.”

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu