Jumatano, 12 Safar 1447 | 2025/08/06
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezo ya Kuinusuru Gaza “Sisi Sio kwamba ni Watu Tunaowahurumia Watu wengine, bali Sisi ni Umma Mmoja”

Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, iliandaa "Matembezi ya Ukombozi" kwa kichwa “Sisi Sio kwamba ni Watu Tunaowahurumia Watu wengine, bali Sisi ni Umma Mmoja” kuyataka majeshi ya Waislamu yataharaki kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wauwaji wahalifu.

Soma zaidi...

Viongozi Viziwi, Mabubu, Vipofu wa Ulimwengu wa Kiislamu wanaipa Marekani na Dola ya Kiyahudi Ruhusa ya Kutekeleza Mauwaji ya Halaiki kwa Wapalestina

Katika kipindi cha wiki chache zilizopita na ndani ya masaa 48 yaliyopita, dola ya Kiyahudi imeivamia Gaza kwa kiwango kisicho cha kawaida ambacho hakijashuhudiwa katika kumbukumbu za sasa. Kigugumizi kilichoushika uongozi wa ulimwengu wa Kiislamu kimevunja rekodi zote za kukosa uaminifu na usaliti.

Soma zaidi...

Kufichua Njia Zote Zisizo Sahihi na Zenye Kutuweka Mbali na Suala la Palestina

Suala la Palestina ni jaribio. Kama wewe upo wazi kuhusu kile ambacho Mwenyezi Mungu (swt) ametuagiza na Mtume Wake (saw) amekifanya kivitendo katika hali kama hiyo, basi unaweza kuchuja vishawishi vyote bandia, vya wenye kulipwa, na waoga ambao hawalinganii katika njia ya sawa kutatua suala hili.

Soma zaidi...

Kutojali kwa Ulimwenguni: Mapambano ya Warohingya na Wapalestina Yafichua Kutofaa kwa Mfumo wa Kimataifa

Wakimbizi wa Rohingya wanaokabiliwa na mateso nchini Myanmar wanastahamili safari hatari za baharini kufika katika jimbo la Aceh nchini Indonesia. Ongezeko la hivi majuzi la waliowasili, linalozidi 1,600 tangu Novemba, linaathiri ukarimu wa kihistoria wa Aceh kwa wakimbizi wa Rohingya.

Soma zaidi...

Marekani Yamiliki kwa Kiburi Uhalifu Wote wa Umbile la Kizayuni huko Palestina

Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani Jake Sullivan alikutana na maafisa wa 'Israel' akiwemo Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu mnamo tarehe 15 Disemba, 2023. Shirika la habari la Reuters liliripoti kwamba aliwaambia waandishi wa habari kwamba: "Kutakuwa na mpito kwa awamu nyingine ya vita hivi, ambayo inalenga kwa njia sahihi zaidi kulenga uongozi na shughuli zinazoendeshwa kijasusi ...

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu