Serikali za Syria na Iran Zaendelea na Msururu wa Uhalifu katika Aina zake Zote
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tovuti za habari ziliripoti habari za moto mkubwa ambao uliteketeza nyumba kadhaa za kale na maduka katika soko la Sarouja, magharibi mwa msikiti wa Umayyad jijini Damascus.