Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Sudan Wakutana na Mwenyekiti wa Chama cha Muungano wa Wanachi (UPF)
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mgogoro wa Sudan, vita vinavyoendelea na matokeo yake yalijadiliwa. Pande zote mbili zilisisitiza umuhimu wa suluhisho kuwa mbali na uingiliaji kati na ajenda za kutoka nje, na kwamba suluhisho lazima litokane na itikadi tukufu ya Uislamu.