Mabunge ya Kidemokrasia ni Taasisi za Kijambazi
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Serikali ya Tanzania imemfuta kazi Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga kwa madai ya kufika Bungeni huku akiwa mlevi ambapo ilimfanya kushindwa kujibu vyema maswali ya Wabunge wakati wa kikao cha bajeti.