Wafanyi Biashara wa Silaha wa Uingereza Hawana Tabia Njema na Ni Wanafiki! Ni Nani Aliyejua?
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kati ya 2011 - 2020, Uingereza ilizipa leseni za silaha zenye kugharimu £16.8 bilioni nchi zinazokashifiwa na Freedom House, kundi la kutetea haki za binadamu linalofadhiliwa na serikali ya Amerika.