Hayakupatikana kwa Maqureshi Masharti ya Kutafuta Nusra kabla ya Ufunguzi (Fathi)
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kimfumo
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sheikh wetu, nina swali lau utaniruhusu, yajulikana kuwa Mtume (saw) alitafuta Nusra kwa makabila, lakini je, Maqureish walikuwa miongoni mwa makabila ambayo Mtume (saw) alitafuta Nusra kwao?