Makundi ya Kiislamu Yanawezaje Kuunga Mkono Katiba ya Kisekula?!
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika taarifa ya pamoja kutoka kwa Chama cha People’s Congress na Ansar al-Sunnah Muhammadiyah – Kituo Makuu, pande hizo mbili ziliunga mkono suluhu ya kisiasa kwa msingi wa kikatiba; iliyoanzishwa na kundi lililoandaliwa katika Baraza la Chama cha Mawakili, na walitoa wito kwa vikosi vyote vya kitaifa kuunga mkono suluhu hii.