Jumamosi, 23 Jumada al-thani 1447 | 2025/12/13
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Al-Waqiyah TV: Kipindi cha Miangaza

Runinga ya Al-Waqiyah ilifanya mahojiano mbali mbali na wazee kutoka kwa Mashabab wa Hizb ut Tahrir kutoka maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo walisisitiza kwamba wao wako imara juu ya ukweli, haijalishi uzito wa majanga, na kwamba wako njiani, haijalishi urefu wa barabara, lengo lao liko wazi na njia wanayotumia imekamilika…

Soma zaidi...

Minbar ya Ummah: Wanawake kutoka Vijijini mwa Aleppo Wakiwakumbusha Kaka zetu namna Mapinduzi yawe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (swt) na Kuyataka Mapinduzi Yarudishwe yawe ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (swt)

Minbar ya Ummah: Wanawake kutoka Vijijini mwa Aleppo Wakiwakumbusha Kaka zetu namna Mapinduzi yawe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (swt) na Kuyataka Mapinduzi Yarudishwe yawe ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (swt)

Soma zaidi...

Wanawake Waislamu Hawahitaji Sherehe za Kila Mwaka za Kufeli Kiulimwengu katika Kusuluhisha Matatizo ya Wanawake. Tunahitaji Khilafah itakayokuwa Mlinzi na Ngao Yetu

Kauli mbiu ya mwaka 2020 ilikuwa ‘Usawa kwa Kila Mmoja’ ambayo ililingania kwa utendaji wa pamoja ili kufikia usawa wa kijinsia ndani ya serikali, sehemu za kazi, michezo na kuangaziwa na vyombo vya habari pamoja na sekta nyingine ndani ya dola.

Soma zaidi...

Ufisadi Nchini Kenya

Kwa mara nyingine tena, Kenya iko katika kurunzi ya ulimwengu kuhusiana na ufisadi. Kwa mujibu wa utafiti kuhusiana na matukio ya uhalifu wa kiuchumi uliotolewa jijini Nairobi mnamo Ijumaa 26 Februari 2016 na kampuni ya uhasibu ya Price Waterhouse Coopers (PwC), Kenya imeorodheshwa nchi ya tatu fisadi zaidi ulimwenguni.

Soma zaidi...

Usekula Unapanda Uovu Wake kwa Dini Kuu

Tunakemea vikali sheria hizi ambazo kwa uhalisia ni dhihirisho la uchafu na ufisadi wa fikra ya kisekula ambayo imewapa wanadamu uhuru wa kutunga sheria na kukiuka utukufu wa kidini. Tunaeleza kinaga ubaga kuwa sheria hizi zilizopendekezwa ni kinyume na ile inayodaiwa kuwa ni haki ya kikatiba ya uhuru wa kuabudu na kwamba dola haipaswi kuingilia dini!

Soma zaidi...

Al-Waqiyah TV: Mfululizo Kuwa Imara juu ya Ukweli…Kufuata Njia

Runinga ya Al-Waqiyah ilifanya mahojiano mbali mbali na wazee kutoka kwa Mashabab wa Hizb ut Tahrir kutoka maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo walisisitiza kwamba wao wako imara juu ya ukweli, haijalishi uzito wa majanga, na kwamba wako njiani, haijalishi urefu wa barabara, lengo lao liko wazi na njia wanayotumia imekamilika…

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu