Alhamisi, 28 Jumada al-thani 1447 | 2025/12/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mahakama Kuu ya Kisekula ya Karnataka Inasubutuje kutoa "Fatwa" kuhusiana na kile ambacho Mwenyezi Mungu (swt) Amewafaradhisha Waislamu! Enyi Waislamu! Ni nani Mwengine Isipokuwa Khilafah Atalinda Haki na Heshima za Dada zetu?

Kwa kushikilia marufuku ya hijab kwa wasichana wa shule na walimu wa Kiislamu katika taasisi za elimu chini ya serikali ya Jimbo hili inayoendeshwa na chama chenye misimamo mikali cha Hindutva Bharatiya Janata (BJP),

Soma zaidi...

Katika Kumbukumbu ya Kumi na Moja Tangu Kuanza kwa Mapinduzi Matukufu ya Ash-Sham Hakuna Mbadala wa Kuipindua Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume.

Kumbukumbu ya kumi na moja ya tangu kuanza kwa mapinduzi yaliyobarikiwa ya Ash-Sham yapo juu yetu, na tuna yakini kwamba Mwenyezi Mungu (swt) hatayafelisha mapinduzi ambayo yalitoa thamani kubwa katika njia Yake,

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Deir Hassan "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu"

Katika kumbukumbu ya miaka kumi na moja ya Mapinduzi Matukufu, Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Deir Hassan viungani mwa Idlib, kwa anwani "Hakuna Mbadala katika Kuiangusha Serikali na Kusimamisha Utawala wa Uislamu!".

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu