Alhamisi, 19 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Athari Pana, Hatari za Usalama za Msukosuko wa Kisiasa wa Pakistan

Msukosuko wa sasa wa kisiasa nchini Pakistan kimsingi haukufungika kwenye mzozo kati ya PTI ya Imran Khan na serikali ya PDM. Haijafungika hata kwenye mvutano kati ya vikundi vya jeshi lenye nguvu. Msukosuko wa kisiasa una athari pana zaidi. Inapanuka ili kuwezesha malengo na maslahi ya Marekani katika eneo hili, kwa wakati huu. Hii ni bila kujali kama uwezeshaji huu ni wa kubuniwa kimakusudi, au kwa matokeo ya bahati mbaya, ya kusikitisha.

Soma zaidi...

Kombe la Dunia nchini Qatar: Dosari ya Kihistoria

Katika siku chache, timu ya taifa ya kandanda ya Denmark itasafiri hadi Qatar kuiwakilisha Denmark katika Kombe la Dunia 2022. Wachezaji wa Denmark watacheza wakiwa na nguo nyeusi, ambazo zitaashiria bendi ya maombolezi ambayo inaashiria kutoridhika na serikali nchini Qatar na ambayo inaashiria kwamba Denmark anahudhuria mazishi.

Soma zaidi...

Mfumo wa Kidemokrasia wa Kirasilimali Huzalisha tu Wanasiasa Majanga Pekee

WAZIRABAD: Waziri Mkuu wa zamani na mwenyekiti wa chama cha Pakistan Tehreek-e-Insaf (PTI) Imran Khan na viongozi wengine kadhaa wa PTI walijeruhiwa baada ya mtu mmoja kufyatua risasi karibu na kambi ya mapokezi ya PTI huko Allahwala Chowk wakati wa maandamano marefu ya chama hicho, ARY News iliripoti mnamo Alhamisi.

Soma zaidi...

Shambulizi juu ya Khimar (Kitambaa cha kichwa) barani Ulaya ni Vita vya Hadhara Dhidi ya Hadhara "Jibu kwa Makala ya Jean Chichizola"

Mnamo tarehe 11/09/2022, Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir kiliwasilisha mjadala kuhusu "Shambulizi dhidi ya Hijabu barani Ulaya", ambapo washiriki walizungumza kuhusu vikwazo ambavyo wanawake wa Kiislamu katika nchi za Magharibi wanakumbana navyo, ambao ulimkasirisha mwandishi wa habari Jean Chichizola kiasi kwamba aliandika makala yaliyochapishwa mnamo tarehe 19/10/2022 kwenye Gazeti la Le Figaro, yenye kichwa "Ufaransa inatuhumiwa kutaka "kuuondoa Uislamu" kwa vijana wa Kiislamu.

Soma zaidi...

Enyi Watu wa Kinana: Uvumilivu wenu ni Udhalilifu na Kimya chenu ni Uhalifu Yapi Yatokea baada ya Mawimbi Mtawalia ya Ueleshaji?!

Mnamo Alhamisi asubuhi, Oktoba 27, 2022, Benki Kuu ya Misri ilipandisha viwango vya riba kwa pointi 200, wakati wa mkutano wa kipekee, hivyo kiwango cha maregesho ya amana na mikopo ya usiku mmoja kikawa asilimia 13.25 na asilimia 14.25, mtawalia, na taarifa ya Benki Kuu.

Soma zaidi...

Daraa kwa Mara Nyengine Tena iko katikati ya Chuma cha Utawala wa Kihalifu na Nyundo ya Makundi ya Maridhiano

Mji wa Jasim ulizingirwa mwezi Agosti mwaka wa 2022. Kisingizio cha hilo kilikuwa uwepo wa chembechembe za ISIS katika mji huo. Mji huo baadaye ulivamiwa mnamo Oktoba; wengi waliuawa wakati wa uvamizi huo. Kabla ya hapo, mji wa Tafas ulishuhudia mandhari hiyo hiyo, na utawala wa kihalifu ulijaribu kuuvamia na kuzua mifarakano miongoni mwa wakaazi wake.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu