Alhamisi, 19 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Demokrasia na Mfumo wake wa Kiulimwengu ni Minyororo ya Utumwa wa Kimarekani Simamisheni Tena Khilafah kwa Ajili ya Mabadiliko Halisi

Mnamo tarehe 27 Machi 2022, Imran Khan alifichua operesheni ya mabadiliko ya serikali kupitia njama ya Marekani kwenye mkutano wa hadhara, na akatangaza mapambano ya umma dhidi ya udhibiti wa Marekani juu ya Pakistan. Hata hivyo, katika muda wa miezi saba na nusu tu, Imran Khan alimaliza rasmi kampeni hii.

Soma zaidi...

Takeni Kukomeshwa kwa Ushirikiano na Marekani, ili Kupata Fahari ya Majeshi Yetu, Ardhi Zetu na Dini Yetu

Uteuzi wa mkuu mpya wa jeshi kwa jeshi la Waislamu lenye nguvu zaidi duniani ulijiri wakati wa ukataji tamaa mkubwa. Tulishusha pumzi, tulipoona mwisho wa enzi chungu ya miaka sita ya Jenerali Bajwa. Kutufunga kwa ushirikiano na Marekani, Mafundisho ya Bajwa yaliharibu sifa ya wanajeshi, na kusababisha ukosefu wa utulivu na usalama juu yetu.

Soma zaidi...

Qatar ni nchi ya Kisekula na Kamwe Haitapiga Marufuku Unywaji Pombe katika Kombe lake la Dunia

Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) lilitangaza kuwa vinywaji vyenye vileo havitauzwa katika viwanja vinane vitakavyoandaa mechi za Kombe la Dunia la 2022 nchini Qatar.

Vinywaji vya vileo vilipaswa kuandaliwa “katika maeneo yaliyotengwa ndani ya viwanja vya michezo,” ingawa uuzaji wao unadhibitiwa vikali katika dola hiyo ya Ghuba ya Kiislamu.

Soma zaidi...

Joyland: Kukanusha Sababu Saba Zilizojadiliwa Zaidi zenye Kupendelea Kuonyeshwa Filamu Hii

Miongoni mwa mabishano mengine mengi, ubishani mpya umeikumba nchi yetu kuhusu filamu ijayo, ya Joyland[1] na marufuku yake inayobishaniwa[2]. Filamu hiyo, kabla ya kutolewa rasmi, tayari imeshinda tuzo 4 kuu, miongoni mwazo tuzo ya 'heshima' ya Tamasha la Filamu la Cannes katika vigawanyo viwili, miongoni mwao ni kigawanyo cha Queer Palm kilichotolewa kwa maudhui husika ya LGBT[3] na tuzo ya jury iliyosifiwa sana[4].

Soma zaidi...

Vichwa vya Habari 23/11/2022

China imefunga moja ya mikataba mikubwa zaidi ya gesi asilia majimaji (LNG) pamoja na Qatar yenye thamani ya dolari bilioni 60, Shirika la Habari la Qatar lilitangaza. Mkataba huo wa kihistoria na nchi yenye uchumi wa pili kwa ukubwa duniani unatazamiwa kuimarisha usalama wa kawi wa Beijing kwa miongo kadhaa na ni mapinduzi makubwa kwa China huku nchi zikikimbilia kufunga mikataba ya kawi kutokana na uhaba unaosababishwa na vita vya Urusi na Ukraine.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu