Jumatano, 18 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/10
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Jibu la Swali: Kuwapa Hongera Wakristo na Makafiri Kwenye Sikukuu Zao

Swali langu ni kuhusu kuwapa hongera Wakristo kwa sherehe zao na kushiriki nao, na kilichonisukuma kuuliza swali hili ni jibu la swali la Sheikh Taqiuddin al-Nabhani, Mwenyezi Mungu amrehemu, kuliruhusu hilo, hivyo nataraji kutoka kwenu ufafanuzi wa jambo hili. Pamoja nalo ni jibu la swali la Sheikh Taqi.

Soma zaidi...

Haitoshi kuwa na Mkuu wa Jeshi ambaye ni Hafidh wa Quran Mkuu wa Jeshi lazima awe Munafidh (Mtekelezaji) wa Quran

Kamanda wa Kamandi Kuu ya Marekani (CENTCOM), Jenerali Michael Erik Kurilla, alimuita Mkuu wa Majeshi ya Pakistan (COAS), Jenerali Syed Asim Munir, mnamo tarehe 15 Disemba 2022. Mkuu huyo wa CENTCOM alifahamishwa kuhusu "kukabiliana na ugaidi" pamoja na mpaka wa Pakistan na Afghanistan.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu