Alhamisi, 06 Safar 1447 | 2025/07/31
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Watu wetu mjini Gaza Wanaangamizwa Huku Watawala Wasaliti Wanatazama Hivi Wako Wapi Watu wenye Ikhlasi katika Ummah wa Uislamu?

Mnamo siku ya 35 ya vita vyake dhidi ya Ukanda wa Gaza, umbile la Kiyahudi lilivisukuma vikosi vyake pamoja na vifaru vyake karibu na eneo la Uwanja wa Hospitali katikati mwa mji wa Gaza, ambalo linajumuisha hospitali 4, Al-Rantisi, Al-Nasr, Al-Ayoun, na hospitali ya afya ya akili. Vikosi vyake vilizingira maeneo yake huku kukiwa na mzoroto mkubwa katika sekta ya afya, haswa kufuatia mzingiro mkali uliuweka kwenye Ukanda wote wa Gaza tangu Oktoba 7.

Soma zaidi...

Wajumbe Jijini London Watembelea Misheni ya Kidiplomasia ya Waislamu ili Kuzihisabu Serikali kwa Kutochukua Hatua kwao Juu ya Ukaliwaji Kimabavu wa Palestina

Hizb ut Tahrir / Uingereza ilituma wajumbe kwa misheni ya kidiplomasia ya nchi za Waislamu ambazo hadi sasa zimepuuza kuchukua hatua kali kuwaokoa watu wa Gaza na kumaliza ukaliaji kimabavu wa Palestina. Wajumbe hao walitembelea Balozi zilizoko jijini London za Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan kuwakumbusha jukumu lao kwa Ummah na wajibu wao kwa Mwenyezi Mungu (swt).

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir Kenya yafanya Maandamano baridi kutoa mwito kwa Majeshi ya Kiislamu Wakomboe Al-Aqsa kutoka kwa Makucha ya Umbile la Kiyahudi

Kufuatia mauaji ya halaiki yanayoendelea kufanywa na serikali ya kinyama ya kizayuni dhidi ya watu wa Ghaza, Hizb ut Tahrir Kenya iliweza kufanya maandamano baridi mnamo siku ya Ijumaa Oktoba 20,2023 katika miji ya Nairobi na Mombasa sambamba na miji mengine ya pwani.

Soma zaidi...

Mwito kwa Majeshi ya Ulimwengu wa Waislamu Kuinusuru Gaza ‘Harakisheni Majeshi Yenu Kuikomboa Gaza Na Al-Aqsa’

Leo Ijumaa 20 Oktoba 2023 Miladi / 05 Rabi’ al-Akhir 1445 Hijria baada ya Swala ya Ijumaa, Hizb ut Tahrir Tanzania ilifanya visimamo vya maandamano baridi (picketing) sehemu mbali mbali nchini kutoa mwito kwa majeshi ya nchi za Waislamu kuchangamsha majeshi yao kuikomboa Gaza, Palestina na Masjid Aqsa.

Soma zaidi...

Wala Msifanye Uvivu Kuwafuatia Maadui kama Mumepata Maumivu Basi Wao Pia Watapata. Na Nyinyi Mnatumai Kwa Mwenyezi Mungu Yale Wasiyoyatumainia

Jumamosi tarehe saba Oktoba mwaka 2023, mashujaa wa ukanda wa Gaza walivuka mipaka ya umbile la Kiyahudi. Walishambulia ngome za adui na hivyo kufanya nyuso zao kuwa nyeusi. Shambulizi hili dhidi ya Jeshi la Kiyahudi limekashifiwa kote duniani ikiwemo Afrika.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu