Ripoti Mpya: Kuzama kwa Kina - Ulimwengu Baada ya COVID-19
- Imepeperushwa katika Uingereza
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ripoti Mpya: Kuzama kwa Kina - Ulimwengu Baada ya COVID-19
Ripoti Mpya: Kuzama kwa Kina - Ulimwengu Baada ya COVID-19
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan iliandaa kisimamo cha kupinga, mchana wa siku ya Jumanne, 6 Muharram 1442 H sawia na 25/8/2020 M katikati mwa mji mkuu wa Khartoum,
Katika taarifa ya pamoja mnamo 13 Agosti 2020, Imarati, Amerika na umbile la Kiyahudi zilitangaza makubaliano baina ya Raisi wa Amerika Donald Trump, Waziri Mkuu wa umbile la Kiyahudi Netanyahu,
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua Kampeni: "KOMESHA Vitisho kwa Wanawake WachaMungu wa Kiislamu wa Kyrgyzstan!"
Katika mahojiano ya runinga, yaliyopeperushwa mnamo 18 Agosti 2020, Imran Khan alikataa kulitambua umbile la kihalifu la Kiyahudi, lakini kwa uangalifu akaweka kukataa kwake sharti la kukombolewa Palestina.
Kila mwaka katika siku hii, Tarehe Moja Muharram al-Haraam, Waislamu hukumbuka kumbukumbu inayonukia kutoka katika historia ya hadhara yao tukufu; kumbukumbu ya kuzaliwa Ummah bora ulioletwa kwa watu, kupitia kusimamishwa Dola ya Haki duniani,
Janga la maambukizi ya virusi vya Korona linaendelea kuchua maisha ya watu wengi ulimwenguni pia limepelekea kusitishwa kwa amali nyingi za kiuchumi; na kuharibu njia za watu za kujikimu kimaisha.
Huku akiangazia ubakaji wa halaiki uliofanywa na jeshi la India mnamo 1991 katika vijiji viwili vya Kashmir Iliyo Kaliwa, Waziri wa Shirikisho anayehusika na Haki za Kibinadamu Dkt. Shireen Mazari mnamo 15 Agosti 2020 alitangaza,
Wabunge kutoka pande zote za Bunge la Denmark jana Ijumaa, 14 Agosti 2020, walijibu amali zilizo fanywa na Hizb ut Tahrir katika mji wa Aarhus, kama sehemu ya kufichua sera ya ubaguzi wa rangi ya getto na kulinda kitambulisho cha Kiislamu.
Huku Waislamu wa Pakistan wakiukataa kwa hasira mpango unaonadiwa na Amerika kati ya Imarati na umbile la Kiyahudi la kusawazisha mahusiano kikamilifu, serikali ya Bajwa-Imran kwa uangalifu inajitolea njia ya kukamilisha khiyana,