Kifo cha Moi: Wasaa Makini wa Kutafakari Juu ya Muozo wa Nidhamu ya Kiutawala ya Kisekula
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Aliyekuwa Raisi wa Kenya Daniel Arap Moi alifariki mnamo 4 Februari 2020 akiwa na umri wa miaka 95. Moi alikuwa ni Raisi wa pili na aliye tawala kwa muda mrefu wa miaka 24 hadi kustaafu kwake mnamo 2002.