Watoto wa Nigeria Watatishwa Mpaka Lini?!
- Imepeperushwa katika Kitengo cha Wanawake Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Watoto wa Nigeria Watatishwa Mpaka Lini?!
Watoto wa Nigeria Watatishwa Mpaka Lini?!
Kurudi kwa Uislamu kama umbile la kisiasa; Dola ya Khilafah, ingali inawatia tumbo joto mno nchi za Magharibi,
Kujibu kile kilichoelezwa kwenye safu yako yenye kusomeka "Safari ya Mashairi" (Safar Al-Qawafi) katika gazeti la Al-Ahram Al-Yawm, toleo (2945), la Jumapili tarehe 05 Jumada Al-Awwal 1442 H, sawia na 12/2020 M,
Kama kawaida, katika kufuatilia harakati za Hizb ut-Tahrir na kuzuia amali zake, tangu asubuhi ya Alhamisi, 17 Disemba 2020 M, vyombo vya usalama mjini Sidi Bouzid zimefuatilia makao makuu ya Hizb na kufuatilia nyendo za mashababu kupitia mawakala waliovaa nguo za raia na wakaifanya kuwa shughuli yao iliyo washughulisha mno ya kuikabili Hizb na kuidhibiti.
Jana, Wizara ya Mambo ya Nje ya Amerika ilitoa taarifa ikisema: (Sudan imefutwa rasmi kama dola mdhamini wa ugaidi ... nk).
Chini ya uangalizi wa Waziri wa Wakfu na Masuala ya Matukufu ya Kiislamu, Dkt Muhammad Al-Khalayleh, vitivo vya Sharia katika vyuo vikuu vya Jordan, kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (GIZ), watafanya kongamano la kwanza kwa wanafunzi wa vitivo vya Sharia katika vyuo vikuu vya Jordan chini ya anwani: "Uhalisia wa maji nchini Jordan ... Changamoto na Masuluhisho kutoka kwa Mtazamo wa Kiisilamu." Ambalo litafanyika kwa kutumia programu ya Zoom mnamo Jumamosi tarehe 12/12/2020.
Gazeti la kila siku la Al-Thawra linalochapishwa jijini Sanaa mnamo tarehe 09/12/2020 lilichapisha ripoti iliyoungwa mkono na picha za kuvuja kwa kila siku kwa idadi kubwa ya mafuta ghafi
Katikati ya uwepo wa usalama mzito, serikali ya Hasina isiyo na huruma imeanza uhamishaji kwa lazima maelfu ya wakimbizi wa Rohingya katika kisiwa kilichotelekezwa na chenye kukumbwa na mafuriko ya mara kwa mara, Bhashan Char, katika Ghuba ya Bengal.
Jukwaa la Shirika la Habari la Sudan (SUNA) lilikuwa mwenyeji wa Kitengo cha Kupambana na Unyanyasaji dhidi ya Wanawake na Watoto ili kuzungumza juu ya kampeni ya kupambana na unyanyasaji dhidi ya wanawake na kutangaza uzinduzi wa kampeni ya siku 16 ya kupambana na unyanyasaji na ubaguzi,
Mnamo 2 Disemba 2020, ilitangazwa kuwa serikali ya Afghanistan na Taliban wamekubaliana juu ya sheria za mazungumzo.