Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 373
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia ilifanya kikao mnamo Jumanne, Januari 11, 2022, chenye anwani: "Mapinduzi kutoka Tunisia... Changamoto na Matarajio" katika makao yake makuu huko Ariana.
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa mkutano na waandishi wa habari kwa anwani "Masuluhisho ya Kiislamu kwa Mgogoro wa Kiuchumi katika Nukta Kumi!" Ndugu waliohadhiri ni; Ustadh Hakki Eran,
Uingereza inashuhudia kupanda kwa kasi kwa gharama ya bidhaa za kila siku, na kusababisha ugumu mkubwa zaidi kwa maskini na wanaoishi katika mazingira magumu.
Naveed Butt Alitekwa nyara na maafisa wa Usalama wa Serikali tarehe 11 Mei 2012 Mbele ya Familia yake na majirani zake.
Majeshi ya Magharibi hupiga hesabu za vita kwa idadi vikosi vya Kiislamu vinaamini Nusra ya Mwenyezi Mungu (swt) Vikosi vya Kiislamu hutamani kufa shahidi Majeshi ya Kiislamu daima huyashinda majeshi makubwa zaidi Mwenyezi Mungu (swt) amesema,