Al Waqiyah TV: Filamu ya Hali Halisi “Kutoka Moyoni mwa Gaza!”
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Filamu ya Hali Halisi “Kutoka Moyoni mwa Gaza!”
Filamu ya Hali Halisi “Kutoka Moyoni mwa Gaza!”
Pongezi kutoka kote ulimwengu kutoka kwa kundi la wabebaji da’wah miongoni mwa mashababu wa Hizb ut Tahrir kwa mnasaba wa Idd Al-Adha 1445 H.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Khutba ya Idd ul-Adha Al-Mubarak 1445 H – 2024 M
Al Waqiyah TV: Baraza la Usalama liko “Mfukoni mwa Marekani” Likiendeshwa na Maslahi yake na Maslahi ya Mayahudi na Wakoloni Makafiri.
Enyi Waislamu: Hakika munaona jinai za Mayahudi kwenye kivuko cha Rafah na Gaza, bali Palestina yote, na watawala hawahamasishi jeshi kuinusuru, bali wanasahau mistari yao mekundu!
Pongezi kutoka kote Ulimwengu kwa Mnasaba wa Idd ul-Fitr Al-Mubarak 1445 H
Ripoti ya jibu la swali lililotolewa na Amiri wa Hizb ut Tahrir, mwanachuoni mkubwa Ata bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amhifadhi.
Kwa kuzingatia mauaji ya halaiki ya kikatili ambayo yamekuwa yakiendelea kwa muda wa miezi mitano iliyopita yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 110,000.
Filamu ya Makala “Palestina Yote ni Wajibu Ikombolewe!"
Katika mwezi wa Rajab Tukufu mwaka huu, 1445 H - 2024 M, inarudi kwetu kumbukumbu ya uchungu ya miaka 103 H na 100 M ya kuvunjwa kwa dola ya Kiislamu na wahalifu wa Kiarabu na Kituruki, ambayo iliasisiwa na Bwana wa Mitume Muhammad (saw), na maswahaba zake watukufu (ra), na kuondolewa kwa mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu mwaka 1342 H, sawia na 03/03/1924 M, na ardhi iliyobarikiwa (Palestina) ilipotea kwa kupotea Imam ambaye ni ngao, Khalifa wa Waislamu ambaye kwaye wanapigana nyuma yake na kujihami..