Al-Waqiyah TV: Hatimaye, Dhalimu Trump Anahitimisha Ziara yake katika Kanda hii!
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hatimaye, Dhalimu Trump Anahitimisha Ziara yake katika Kanda hii!
Hatimaye, Dhalimu Trump Anahitimisha Ziara yake katika Kanda hii!
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi 18, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa zaidi ya wanaume na wanawake wa Kiislamu 180,000 hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Sweden iliandaa kisimamo mbele ya ubalozi wa Marekani katika mji mkuu, Stockholm, chenye kichwa “Risala kwa Majeshi ya Waislamu!”
Pongezi za wabebaji da’wah miongoni mwa mashababu wa Hizb ut Tahrir kutoka kote ulimwenguni kwa Umma wa Kiislamu kwa mnasaba wa ujio wa Idd ul-Fitr Al-Mubarak 1446 H
Enyi Majeshi “Mna nini mnapo ambiwa: Nendeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu, mnajitia uzito katika ardhi?”
Al-Waqiyah TV: Je, Mwenyezi Mungu ﷻ Ametuamrisha Kutumia Neno “Khilafah” Pekee?!
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wageni wa kurasa za Afisi Kuu ya Habari katika mwezi uliobarikiwa wa Ramadhan mwaka huu, 1446 H (2025 M), silsila mpya ya vipindi vya Al-Waqiyah TV vyenye kichwa “Tafakafi,” vilivyotayarishwa na kuwasilishwa na Mhandisi Baher Saleh, Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir.
Trump na Mfuasi wako Netanyahu: Macho Yako Yamepofushwa, umesahau hatima ya watangulizi wako miongoni mwa Warumi na Wafursi, pamoja na washirika wako duni, Mayahudi!
Ripoti ya jibu la swali lililotolewa na Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amhifadhi, kuhusu Kuongezeka kwa Uhasama nchini Sudan.
Ripoti ya jibu la swali lililotolewa na Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amhifadhi, kuhusu Juu ya juhudi za kutaka watu wa Gaza wahame kutoka katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina).
Ripoti ya jibu la swali lililotolewa na Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amhifadhi, kuhusu mabadiliko mapya ya kisiasa nchini Lebanon.