Katiba Hii Mpya Nchini Tunisia ni Ipi?
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kura ya maoni ya katiba imepangwa kufanyika nchini Tunisia mnamo tarehe 25 Julai. Ikipita itakuwa ni katiba ya pili baada ya mapinduzi ya 2011.
Kura ya maoni ya katiba imepangwa kufanyika nchini Tunisia mnamo tarehe 25 Julai. Ikipita itakuwa ni katiba ya pili baada ya mapinduzi ya 2011.
Kichwa cha habari cha kushtua katika gazeti la Independent mnamo tarehe 15 Julai kinasomeka: "Aina mpya ya Uviko ya 'Stealthy' inaweza kukuambukiza tena na tena kila mwezi."
Chama cha Pakistan Tehreek-i-Insaf (PTI) cha Imran Khan mnamo tarehe 17 Julai 2022 kiliipiku PML-N kwa kushinda angalau viti kumi na tano, katika uchaguzi mdogo muhimu.
Uganda imetangaza ugunduzi wa kwa hifadhi ya madini ya dhahabu kiasi cha tani milioni 31, ikiwa na ujazo wa dhahabu halisi kiasi cha tani 320,000.
Wakenya watashiriki uchaguzi mnamo 9 Agosti, 2022. Majirani wa Kenya wanafuatilia uchaguzi huu kwa umakini, kwa kuwa Kenya ndio kitovu cha kiuchumi cha Afrika Mashariki na Kati.
Mnamo tarehe 2 Julai, mamia ya watu walijiunga na mkesha wa Zara Aleena ambaye aliuawa akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake Ilford, London Mashariki.
Hivi majuzi, Benki Kuu ya Pakistan (SBP) ilipandisha viwango vya riba hadi 15% katika hatua ya kuzuia mfumko wa bei.
Mbio za kumsaka raisi wa serikali ijayo zimeshika kasi ikiwa tayari wagombea wa wadhifa wa urais, walioidhinishwa na tume ya usimamizi wa uchaguzi wakizindua rasmi manifesto zao kwa ajili yakupata kura za uchaguzi wa Mwezi Agosti 09.
Hivi karibuni serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu ilitangaza kikokotoo kipya kwa ajili ya wastaafu ambacho kitaanza kutumika mwezi wa saba (Julai) mwaka huu 2022.
Mkuu wa Majeshi ya Pakistan (COAS), Jenerali Qamar Javed Bajwa, mnamo Ijumaa tarehe 17 Juni alilitaja tangazo la Jopo Kazi la Kifedha (FATF), kama "mafanikio makubwa" kwa Pakistan.