Mafuta: Uchumi na Siasa
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Gharama ya mafuta nchini Kenya iligonga rekodi ya juu mnamo Ijumaa (Septemba 15) baada ya mdhibiti wa kawi kurekebisha bei ya pampu, na kuongeza ugumu wa kiuchumi unaowakabili mamilioni ya watu.