Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Kashmir
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uislamu katu hauruhusu majadiliano ya kukubaliana na makafiri kuhusu maswala ya Ardhi za Waislamu na haki na ulinzi wa Waislamu.
Uislamu katu hauruhusu majadiliano ya kukubaliana na makafiri kuhusu maswala ya Ardhi za Waislamu na haki na ulinzi wa Waislamu.
Watawala wa Pakistan wanaendelea kuukumbatia ulazimishaji wa kiuchumi kuliko masuala ya heshima ya Mtume (saw), Kashmir Iliyokaliwa na kulinda ushawishi wa Marekani nchini Afghanistan.
Hivi kuna uwezekano wakuishi maisha bora ya kiuwanajeshi zaidi ya yale aliyoishi Sa’ad ibn Mu’adh (ra) ambaye alitoa Nusra ya kusimamisha Uislamu kama serikali na kisha akawang'oa maadui katika vita vya Badr?
Kuhusiana na Kashmir Iliyokaliwa, mnamo tarehe 18/3/2021, Jenerali Bajwa alisema, “Nahisi kwamba sasa ni wakati wa kuzika yaliyopita na kusonga mbele”.
Pakistan: Amali kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Kampeni, "Khilafah Inakomboa Kashmir"
Angalizi la Vyombo vya Habari, video na mahojiano kuhusu kazi ya kiulimwengu ya Hizb ut Tahrir.
Tafadhali unga mkono #FreeNaveedButt Kimbunga cha Twitter mnamo 26/12/2020
Wilayah ya Pakistan: Naveed Butt "Uislamu Unakataa Utabikishaji Kidogo Kidogo!"
Katika wakati ambao Waislamu wa Pakistan wanauelekea Uislamu kama njia ya maisha, na kwa ajili ya kunyanyua kiwango cha utambuzi wa jambo la nidhamu ya Khilafah, Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan imezindua kampeni pana kwenye mitandao ya kijamii kwa anwani: