Jumanne, 07 Jumada al-awwal 1447 | 2025/10/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki Amali Pana “Hebu Tuunganisheni Dua Zetu katika Kulaani (Israeli)"

Kwa kuzingatia hali ya wasiwasi katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) ya mashambulizi ya mara kwa mara ya umbile la Kiyahudi lililouteka nyara Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na kuuzingira kwake na mashambulizi ya mabomu ya kuendelea kwa muda wa miaka 16 kwenye Ukanda wa Gaza,

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina pamoja na Wanaume, Wanawake, na Koo Yatangaza Kukataa katakata Sheria ya Ulinzi wa Familia na CEDAW!

Katika mkusanyiko mkubwa wa taadhima uliofanywa na Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa – Palestina mnamo siku ya Jumatano, Machi 23, 2022, watu wa Palestina walitangaza kukataa kata kata Sheria ya Ulinzi wa Familia inayotokana na CEDAW, ambayo Mamlaka ya Palestina inakusudia kuiidhinisha.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu