Kumiliki Zana za Kinyuklia Kunathibitisha Uwezo wa Umma wa Kiislamu Kuhakikisha Kujitosheleza, kuwa Huru na Khilafah Imara
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa kumiminwa ghafla kwa rambirambi za dhati, Waislamu kote ulimwenguni wanaomboleza tangu Dkt. Abdul Qadeer Khan, mwanzilishi wa mpango wa nyuklia wa jeshi la Pakistan, alipotangulia katika Rehema ya Mola Wake (swt) mnamo 10 Oktoba 2021.